top of page
Imeandikwa na daktari wa ULY-Clinic
Maana ya Akalezia
Akalezia ni tatizo linalotokea kwa nadra sana, hutokea kwa mtu mmoja(1) kati ya watu 100,000. Dalili kuu ikiwa ni kushindwa kumeza chakula na vinywaji vema au kwa shida.
Watu wengi wanaopata tatizo hili huwa kwenye umri kati ya miaka 25 hadi 60. Ingawa tatizo haliwezi tibika, dalili huweza kudhibitiwa kwa matibabu.
Endelea kusoma zaidi kuhusu , Dalili, Visababishi, VIpimo na Matibabu, kwa kutumia barua pepe yako tu
ULY Clinic inakushauri uwasiliane na daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile dhidi ya afya yako
Imeboreshwa 25. 3.2020

bottom of page