Acarbose ni dawa jamii ya kizuizi cha alpha-glucosidase inayotumika pamoja na mazoezi kudhibiti sukari kwenye gamu kwa wagonjwa wa kisukari aina ya pili.
Ni dawa ya kuua bakteria yenye wigo mpana dhidi ya vimelea jamii ya gramu hasi na chanya. Huweza kutibu maambukizi katika sehemu mbalimbali kama ngozi, mfumo wa upumuaji, tishu laini, ubongo na mfumo wa mkojo.