top of page

Dawa asilia na matumizi

Dawa asili ya kupunguza maji mwilini, kushusha shinikizo la juu la damu na kutibu kikohozi

Combretum glutinosum

Combretum glutinosum ni moja ya mmea maarufu katika tiba asili kutokana na uwezo wake wa kupunguza maji mwilini, kushusha shinikizo la juu la damu na kutibu kikohozi. Tafiti nyingi zilizofanyika zimeonyesha matokeo yake mazuri katika tiba.

Ni dawa asili ya kikohozi, bronkaitizi, nimonia, UTI, homa, kiungulia, mapigo ya moyo kwenda kasi na dalili za koma hedhi.

Eucalyptus globulus

Ni mmea wenye asili ya Australia hata hivyo hupatikana sehemu nyingi za ukanda wa joto barani Afrika. Huwa na uwezo wa asili kutibu kutibu kikohozi, bronkaitizi, nimonia, UTI, homa, kiungulia, mapigo ya moyo kwenda kasi na dalili za koma hedhi.

Euphorbia hirta hutibu matatizo ya wanawake, magonjwa ya mfumo wa upumuaji, minyoo kwa watoto, kuharisha damu, kisonono

Euphorbia hirta

Euphorbia hirta ni mmea unaofahamika duniani kote kutokana na uwezo wake mkubwa katika tiba asili haswa kutibu matatizo ya wanawake, magonjwa ya mfumo wa upumuaji, minyoo, amibiasis na kisonono.

Griffonia Simplicifolia dawa asili ya sonona, kukosa usingizi na obeziti

Griffonia Simplicifolia

Griffonia simplicifolia ni aina ya mmea unaopatikana Afrika, mbegu zake hutumika kama dawa ya sonona, hofu kuu, kupunguza uzito, maumivu ya kichwa na kukosa usingizi.

Kigelia Africana dawa asili ya ugumba na kukuza matiti, titi

Kigelia Africana

Ni mti wa maajabu haswa kwenye matibabu ya ugumba na kukuza matiti kwa mabinti wanaokuwa, hupatikana maeneo mengi afrika hata mbuga za wanyama kama mbuga ya wanyama ya manyara, Tanzania .

bottom of page