Mwandishi:
Dkt. Sospeter M, MD
Mhariri:
Dkt. Lugonda B, MD
2 Aprili 2020, 09:16:28

Paracetamol
Parasetamo kwa jina lingine hujulikana kama acetaminofeni ni dawa inayotumika kutuliza homa pamoja na maumivu.
Majina ya kibiashara
Parasetamu hufahamika kwa majina mengine kama;
Panadol
Acetaminophen
Acephen
Acetadryl
Allzital
Apadaz
Bupap
Butapap
Cetafen
Contac Cold
Flu Non Drowsy
Coricidin Hbp Cold & Flu
Darvocet-N
Dayquil Sinex
Dolofin
Dologen
Dologesic
Duralgina
Dvorah
Endocet
Esgic
Exaprin
Excedrin
Excedrin PM Triple Action
Excedrin Tension Headache
Feverall
Fioricet
Fioricet With Codeine
Goody's Back & Body Pain Relief
Goody's Body Pain
Goody's Extra Strength
Goody's Headache Relief Shot
Goody's PM
Hycet
Legatrin PM
Little Fevers
Lorcet
Lortab
Mapap
Mapap Sinus Congestion and Pain
Mersyndol
Midol Complete
Midol Cramps & Bodyaches
Nalocet
Norco
Ofirmev
Orbivan
Pamprin Max Formula
Pamprin Multi-symptom
Panadol
Pediacare Children's Fever Reducer Pain Reliever
Percocet
Percogesic Reformulated Jan 2011
Pharbetol
Premsyn Pms
Prolate
Rivacocet
Robaxacet
Robaxacet-8
Roxicet
Spasmhalt-8
Sudafed PE Sinus Headache
Tactinal
Tencon
Trezix
Triatec
Triatec-30
Triatec-8
Tylenol
Tylenol PM
Tylenol With Codeine
Ultracet
Vanatol
Vanatol S
Vanquish
Vtol
Xodol
Xolox
Zamicet
Zebutal
Zflex
Zydone
Parasetamu na chakula
Inapaswa kutumika pamoja na chakula ili kuepusha maudhi kwenye mfumo wa chakula
Dawa zilizo kundi moja na parasetamu
Dawa zingine ambazo zipo kwenye kundi moja pamoja na Parasetamo ni:
Aspirini
Diclofenac
Ibuprofen
Naproxen
Namna parasetamu inavyofanya kazi
Parasetamu hufanya kazi kwa kuzuia utengenezwaji wa kemikali ya prostaglandini ambayo hhuuletea mwili maumivu,homa na kuvimba.
Parasetamo hutibu nini?
Hupunguza maumivu ya wastani
Hutuliza homa
Huondoa maumivu kwa wagonjwa wa arthraitisi
Dawa zenye mwingiliano na parasetamu
Paracetamol haipaswi kutumika pamoja na dawa zifuatazo;
Pexidartinib
Pretomanid
Apalutumide
Avapritinid
Dapsone topical
Isoniazid
Lomitapide
Tinidazole
Warfarin
Tetracaine
Lemborexant
Wagonjwa wasiopaswa kutumia parasetamu
Parasetamu hii haipaswi kutumika kwa wagonjwa wafuatao;
Magonjwa makali ya ini
Mwenye aleji na acetaminophen
Angalizo la parasetamu
Inapaswa kutumika kwa tahadhari kwa wagonjwa wafuatao:
Magonjwa ya Ini
Wagonjwa wa figo iliyoferi kwa muda mrefu
Mgonjwa anayetumia waliokubuhu matumizi ya pombe
Wagonjwa wenye utapiamlo
Parasetamu na ujauzito
Dawa huingia kwa mtoto akiwa tumboni, dawa ikitumiwa kwa kiasi kikubwa na mama huweza kuambatana na shida kwa mtoto aliye tumboni.
Parasetamu wakati wa kunyonyesha
Dawa hii huingia kwenye maziwa pia,hakuna madhara yeyote yanayoletwa na dawa hii kwa mtoto endapo atanyonya maziwa ya mama.
Maudhi ya parasetamu
Baadhi ya maudhi madogo ya dawa ya parasetamu ni pamoja na;
Kizunguzungu
Vipele na harara
Sumu kwenye ini
Ini kushindwa kufanya kazi
Upungufu wa Sodiamu
Sindromu ya Steven Johnson
Kupungua kwa chembechembe nyeupe za damu
Kichefuchefu
Kukosa hamu ya kula
Kuwashwa
Je endapo utasahau dozi yako ya parasetamu ufanyaje?
Kama umesahau kutumia dozi ya parasetamu, tumia mara pale utakapokumbuka kisha endelea kama ulivyopangiwa na daktari wako.
ONYO: Usitumie dawa yoyote bila ushauri wa daktari. Dawa zinaweza kuleta madhara mwilini na pia matumizi ya baadhi ya dawa pasipo ushauri na vipimo husababisha vimelea kuwa sugu dhidi ya dawa hiyo.
ULY clinic inakushauri kuwasiliana na daktari wako unapotaka kuchukua maamuzi yoyote yanayohusu afya yako.
Wasiliana na daktari/Mfamasia wa ULY clinic kwa ushauri na Tiba au kuandikiwa dawa kwa kupiga simu au Kubonyeza Pata tiba chini ya tovuti hii.
Imeboreshwa,
3 Novemba 2021, 11:25:47
Rejea za mada hii:-