top of page

Mwandishi:

Mhariri:

ULY CLINIC

Dkt. Peter A, MD

Ijumaa, 22 Oktoba 2021

Njegere
Njegere

Njegere ni Chakula jamii ya mbegu,mbegu hizi huw katika kundi kubwa linaitwa legumin ambapo huwa na protini kwa wingi inayosaidia katika ukuaji wa mwili

Virutubisho

Vilivyomo ndani ya njegere hutegemea endapo njegere hiyo bado ni mbichi au ikiwa imekauka

Njegere mbichi

Huwa na viinirishi vifuatavyo,

  • Vitamin A

  • Vitamin K

  • Vitamin C

  • Thiamine

  • Folate

  • Manganese

  • Madini chuma

  • Madini ya fosforasi

  • Huwa na protini kwa wingi

Umuhimu wa Njegere mbichi

Matumizi mazuri ya mara kwa mara ya njegere huweza kusaidia katika kukinga ama kuupa mwili uwezo wa kupambana na hali na magonjwa mbalimbali, baadhi ya faida ni;

  • Hudhibiti kiwango cha sukari katika damu

  • Huimarisha mifupa

  • Huimarisha moyo

  • Huimarisha mmen'genyo wa chakula mwilini

  • Hukinga dhidi ya magonjwa sumu, Kama kisukari, Saratani na magonjwa ya moyo

Madhara ya njegere

Kama ilivyo kwamba kila kitu kina madhari kikitumiwa bila utaratibu mzuri, Njegere mbichi pia huweza kusababisha tumbo kujaa na gesi endapo zitatumiwa bila utaratibu maalumu. Kwa wagonjwa wa Vidonda vya tumbo hawashauriwi kutuumia chakula hiki.

Imeboreshwa,
10 Novemba 2021, 11:04:01
Bofya hapa kusoma zaidi kuhusu namna ya kuandaa vyakula mbalimbali vinavyoweza kukukinga dhidi ya magonjwa ya shinikizo la damu la juu na Kisukari, pia kuupa mwili wako uwezo wa kudhibiti magonjwa ya kisukari na shinikizo la juu la damu(presha).

 

ULY CLINIC inakushauri siku zote uwasiliane na daktari wako kwa ushauri na tiba zaidi kabla ya kuchukua hatua yoyote ile ya kiafya baada ya kusoma makala hii.
 

Wasiliana na daktari wa ulyclinic kwa ushauri zaidi na tiba kwa kutumia namba za simu au kubonyeza link ya Pata Tiba chini ya tovuti hii

Rejea za mada hii

  1. Grant J, Cooper P. Peas (Pisum sativum L.). Methods Mol Biol. 2006;343:337-45. doi: 10.1385/1-59745-130-4:337. PMID: 16988357.

bottom of page