top of page

Faida za vyakula

chembe-yenye-saratani-ya-leukemia--ulycl

Uyoga

Uyoga ni fangasi wanaoota ardhini na hutumika kama chakula, huwa na virutubisho murua kwa afya ya mwanadamu.

chembe-yenye-saratani-ya-leukemia--ulycl

Ufuta

Ufuta ni mbegu zitokanazo na mmea wa ufuta mmea wa maua unatokao kwenye kundi la sesamum. Mbegu za hizi zinafaida lukuki kwa afya ya mlaji hiyo ni kutokana na virutubisho ilivyonavyo.

chembe-yenye-saratani-ya-leukemia--ulycl

Tanipu

Tanipu ni zao la mbogamboga litokanalo na mizizi kutoka katika familia ya Brasssicaceae. Zao hili hutumika kama chakula/mboga baada ya kupikwa ili kupata faida inayotakiwa.

bottom of page