top of page

Majadiliano na Wataalamu

Public·783 members

Dr.Sospeter Mangwella, MD
siku 6 zilizopita · updated the description of the group.
Asante kwa kututembele, ulyclinic inathamini afya yako kwa kukupa habari na tiba!

ULYCLINIC

Uliza swali pamoja na kusoma majibu ya maswali yaliyoulizwa, tumia maneno yenye staha kuepuka kukwaza wengine.

28 Views

Malengelenge ukeni: Visababishi na Tiba

Swali la msingi


Habari za wakati dokta, nimetokewa na malengelenge uken ni ukimwi? Pia nitafanyaje nipone siku ya tatu hii naumia nikiingia kujisaidia haja ndogo.


Majibu

Malengelenge ukeni: Visabaishi na Tiba

Pole sana kwa maumivu unayopitia. Nitakusaidia kwa kuelewa hali yako vizuri zaidi na kukushauri kwa usahihi, lakini pia ni muhimu uonane na daktari haraka kwa uchunguzi kamili. Kwa sasa, hebu tuchambue hali yako.


Malengelenge ukeni ni nini?


15 Views

Hatua za kuchuku: Hofu na wasiwasi uliopitiliza

Maelezo na swali la msingi


Habari daktari!, Nahitaji msaada tena nahitaji sana maana nimechoka kuwa na hari hii ndugu yangu sina raha hata kazi sifanyi. Nasumbuliwa na wasiwasi mpaka nashikwa na hasira. Hari hii ilianza mwezi wa 9 mwaka jana nilienda kazin nilivyoludi ghafra nilishindwa kulala nilikuwa nahis hofu isio eleweka wala kuelezea kias kwamba vidore vya miguu vilikuwa vinajikunja nilikuwa nahisi kukimbia ikabid niende kwa mama lakin hata hivyo sikuweza kulala zaid ya siku nne mfululizo. Ilifikia hatua nilikuwa nahisi huzuni hata kazi nilikuwa nashindwa kufany mpaka nikaanza kuhisi nimefanyiwa mambo ya kichawi. Mawazo yasiokuwa na maana yananizonga mpaka sasa maisha yangu yamekuwa hatiani nashindwa kuludi nilipopanga chumba changu naish na mama yangu wadogo zangu wananitegemea. Hofu, wasiwasi,nashindwa kutulia nikiwa na hofu mpaka kichwa kinauma. Mpaka Nashindwa kupumua sitosheki nikivuta pumnzi nahisi inakatika njiani.Tafadhari naomba msaada tafadhari.


Majibu

Wasiwasi na hofu ilioyopitiliza

Ndugu yangu, pole sana kwa hali ngumu unayopitia. Dalili unazozielezea kama…


15 Views

Ukitumia P2 unaweza beba mimba?

Swali la msingi


Samahani daktari naomba kuuliza swali, eti nikitumia ujauzito naweza beba mimba?


Majibu

Bila samahani, nitakupa maelezo ya kisayansi ya kama unaweza kushika mimba baada ya kutumia p2 (Postinor 2 au Plan B) kuzuia mimba baada ya tendo kwenye siku za kushika mimba.


Postinor 2 ni dawa ya uzazi wa dharura inayotumika kusaidia kuzuia mimba baada ya kufanya ngono bila kinga au wakati kama kinga haikuwa na ufanisi kama vile kupasuka kwa kondomu. Hii ni dawa inayoshughulikia haraka ili kuzuia mimba, lakini ni muhimu kuelewa kuwa:


11 Views

About

Uliza swali pamoja na kusoma majibu ya maswali yaliyoulizwa,...

bottom of page