top of page
Kichomi
Mwandishi:
Dkt. Benjamin L, MD
31 Mei 2022, 19:06:29

Ni maumivu makali na ya ghafla yanayoweza kuwa ya kuchomwa mshale au kisu au kama kukatwa na kitu kikali.
Kichomi ni maumivu makali na ya ghafla, yanayoweza kuwa kama ya kuchomwa mshale au kisu au kukatwa na kitu kikali.
Kichomi ni nini?
Kichomi ni maumivu makali na ya ghafla, yanayoweza kuwa kama ya kuchomwa mshale au kisu au kukatwa na kitu kikali.
Kichomi kinaweza kutokea sehemu yoyote ya mwili na huweza kusababishwa na sababu mbalimbali kama zilivyoelezewa katika makala zingine.
Baadhi ya vichomi vinavyowapata watu ni:
Kichomo cha mguu
Kichomi cha uke
Kichomi cha mgongo
Kichomi cha kichwa
Imeboreshwa,
6 Juni 2022, 14:30:14
bottom of page