top of page

Mazoezi ya kujiandaa mwili dhidi ya  leba na kujifungua salama

Namna sahihi ya kusukuma mtoto

Namna sahihi ya kusukuma mtoto

Kuvuta pumzi kwa kina ni jambo la kwanza linachotakiwa ili kusaidia juhudi za kusukuma mtoto. Kwenye hatua ya pili ya leba (uchungu) utatakiwa kusukuma mtoto ili aweze kutoka kirahisi, kumbuka ili kupata nguvu zenye ufanisi, unatakiwa kuvuta pumzi kwa kina kiasi na si kwa kina sana.

bottom of page