Soma zaidi madhara ya pombe kutumiwa na;
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la huzuni iliyopitiliza
-
Dawa za kutibu tatizo la kutotulia na kuwa na pilika nyingi (ADHD)
-
Dawa ya kuyeyusha damu iitwayo kumarini (coumarin) au wafarini(warfarin)
Imeandikwa na madaktari wa ULY CLINIC
Madhara ya kutumia pombe na dawa za kurekebisha hali ya moyo.
Dawa hizi kwa kawaida huwa na maudhi ya kuleta hali ya kusinzia ambayo ndo msingi wa kutibu tatizo la kukosa usingizi na hali ya moyo.
Endapo zitatumiwa pamoja na pombe zinaweza kusababisha dalili za
Kusinzia, Kizunguzungu, Kuhisi huzuniko kuu, Kushindwa kutembea, Kuharibiwa kwa ini, Madhara makubwa kwenye moyo
Dawa kwenye kundi hili zipo nyingi lakini mfano wake ni lithium, dicalproex, lorazepam, alprozalam, diazepam, clonazepam
Imeboreshwa 24.02.2020
Rejea
BNF 2018