Huanzia wiki ya 13 na kuisha wiki ya 27 ya ujauzito. Kipindi ni katikati ya safari ya ujauzito, kijusi hukua kutoka urefu wa sentimita 7.5 hadi 23 na kuongezeka uzito kutoka gramu 30 hadi 820. Kichefuchefu
Ukitumia njia sahihi kunyoa sehemu za siri utaepuka kupata vipele na muwasho, baadhi ya mambo ya kuzingatia ni kutotumia kiwembe tupu, kutonyoa mara kwa mara na kutotumia kiwembe butu.
Kuigiza unakunywa, kutumia chombo tofauti cha kumnyweshea, kuchanganya na chakula au kubadilli njia ya kutoa dawa ni baadhi ya mbinu za kumfanya mtoto anywe dawa.
Maumivu ya tumbo kwenye ujauzito ni kawaida kutokea na huisha bila matibabu, hata hivyo baadhi ya nyakati yanaweza kuashiria uwepo wa tatizo fulani la kiafya linalohitaji matibabu.
Kucheua kwa watoto ni hali ya kawaida inayotokea muda mfupi baada ya kunyonya. Hata hivyo wakati mwingine huashiria tatizo kubwa hususani ikiambatana na dalili nyingine kama kutokuongezeka uzito n.k.