top of page

Virusi

Sehemu hii utajifunza kuhusu Virusi ambao wanaleta magonjwa mbalimbali kwa binadamu

Kirusi Mumps

Kirusi mumps

Kirusi mumps ni kirusi kinachosababisha ugonjwa wa mumps kwa jina jingine matumbwitumbwi.</p>

Kirusi Polio

Kirusi Polio

Kirusi polio ni kirusi kwenye familia ya picornaviridae, familia yenye sifa ya kuwa na virusi wadogo, wasio na kuta na wenye RNA moja.

Kirusi Rino (Rhinovirus)

Rino (Rhinovirus)

Kirusi Rino au rhinovirus, ni kirusi chenye RNA kutoka kwenye familia ya Picornaviridae. Kirusi huyu huongoza kusababisha homa ya baridi kwa binadamu kwa kuathiri sana pua na koo.

Kirusi Rota

Rotavirus

Kirusi Rota ni aina ya kirusi chenye RNA katika familia ya Reoviridae. Kirusi huyu huongoza kusababisha ugonjwa wa kuharisha kwa watoto wachanga na watoto wadogo karibia duniani kote.

Kirusi Rota A

Kirusi Rota A

Kirusi Rota A ni kirusi kinasababisha maambukizi kwenye mfumo wa chakula na kusababisha homa ya kuharisha inayoambatana na kuharisha sana hasa kwa watoto.

bottom of page